![]() |
| MSAFARA wa viongozi hao wakitoka katika kaburi la marehemu Mzee Karume mara baada ya kuomba dua. |
![]() |
| MWENYEKITI wa UVCCM Kheir James na Makamu Mwenyekiti Tabia Mwita wakivishwa sikafu na vijana wa Chipukizi mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Gymkhana. |
![]() |
| BAADHI ya vijana wa UVCCM waliobeba mabango yenye picha za viongozi wa UVCCM katika mapokezi hayo. |
![]() |
| MWENYEKITI wa UVCCM Taifa akisalimiana na viongozi na wanachama wa UVCCM na CCM kwa ujumla. |
![]() |
| VIONGOZI wa UVCCM wakiwa meza kuu mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Gmkhana. |
![]() |
| MWENYEKITI akipewa jezi na sikafu ya Zanzibar Heroes akiwa ni ishara ya kuwa ni mdau wa Soka la Zanzibar |
![]() |
| MAKAMU Mwenyekiti Tabia Mwita akipewa zawadi maalum iliyopo kwenye chupa ambayo ni zawadi maalum ya kumkaribisha nyumbani. |
![]() |
| BAADHI ya viongozi wa UVCCM na Jumuiya zingine za CCM Zanzibar. |
![]() |
| Kaimu Katibu Hamasa wa Chipukizi wa Umoja wa Vijana waChama cha Mapinduzi (UVCCM) Jokate Mwongelo. |
![]() |
| KAIMU Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Abdulghafari Idrissa Juma akizungumza katika mapokezi hayo. |
![]() |
| MAKAMU Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Tabia Maulid Mwita akizungumza katika hafla ya mapokezi hayo kabla ya kumkaribisha Mwenyekiti. |
![]() |
| Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka akizungumza katika hafla hiyo |
![]() |
| MWENYEKITI wa UVCCM Taifa Kheir James akiwahutubia vijana wa UVCCM katika hafla hiyo. |
![]() |
| BAADHI ya viongozi wakongwe( MACOMRADE) wa Zamani wa UVCCM ambao kwa sasa ni viongozi wa Chama na Jumuiya zingine za CCM wakiwa katika hafla hiyo. |
![]() |
| BAADHI ya viongozi wa UVCCM walioudhuria katika hafla hiyo wakisoma dua. |
![]() |
| VIONGOZI wa UVCCM wakisoma dua ya kuhitimisha hala hiyo. |






























Hakuna maoni:
Chapisha Maoni