Jumamosi, 17 Oktoba 2015

MAELFU YA WANACCM WAJITOKEZA KUMPOKEA MAGUFULI - UNGUJA

Maelfu ya Wananchi wa Pemba wajitokeza kumpokea Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya watu wa Tanzania Mhe. Dkt. John P. Magufuli hapo katika  kiwanja cha Gombani ya Kale mnamo 16/10/2015.

Mapokezi hayo yalikuwa ya kustaajabisha huko kisiwani Pemba kwani maelfu ya wanachama wa CCM walijitokeza ili kwenda kumpokea Mgombea wetu.

Vile vile Mhe. Magufuli alisindikizwa na mwenyeji wake ambae ni Mgombea wa Urais wa Zanzibar Mhe. Dkt. Ali Mohamed SHEIN.