Alhamisi, 28 Novemba 2019

MATUKIO KATIKA PICHA UZINDUZI WA MAGHARIBI YA KIJANI LEO TAREHE 28/11/2019


 KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Bashiru Ali Kakurwa ,akivishwa Skafu mara baada ya kuwasili katika Ofisi za CCM Mkoa wa Magharibi huko Mwera.
 


KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Bashiru Ali Kakurwa,akielekea katika Ofisi za CCM Mkoa wa Magharibi kichama Mwera Zanzibar. 

 BAADHI ya Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Magharibi wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Bashiru Ali Kakurwa akizungumza na wajumbe hao. 

 KATIBU wa CCM Mkoa wa Magharibi Ndugu Mgeni Mussa Haji akikabidhi Taarifa ya CCM ya Mkoa huo kwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Bashiru Ali Kakurwa.

 MWENYEKITI wa CCM Mkoa wa Magharibi ndugu Mohamed Rajab Soud akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi.

 KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Bashiru Ali Kakurwa,akizungumza na Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Magharibi Unguja.

 KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Bashiru Ali Kakurwa ,akikagua vikundi vya Ujasiriamali vilivyoshiriki katika uzinduzi wa kampeni ya Magharibi ya Kijani iliyofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Mwalimu Nyerere Bububu Zanzibar.

 BAADHI ya Wanachama wa CCM walioshiriki katika hafla ya uzinduzi wa Magharib ya Kijani iliyofanyika katika ukumbi wa Chuo Cha Mwalimu Nyerere Zanzibar.

 

 MWENYEKITI wa CCM Mkoa wa Magharib ndugu Mohamed Rajab Soud akimkabidhi zawadi Katibu  Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Bashiru Ali Kakurwa katika hafla ya uzinduzi wa kampeni ya Magharib ya kijani .