Jumamosi, 30 Desemba 2017

PICHA MALI MBALI ZA MATUKIO YA UCHAGUZI WA MAGHARIB

MJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi(kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Magharib  anayemaliza muda wake  Yussuf Mohamed Yussuf  katika  ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa Magharib Unguja. 



 MJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi akiwa katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la Zamani kwa ajili ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu huo.

Ndugu Shaaban akisoma Qur-raan kutoka madrasa ya kamaria iliyopo kibanda hatari Jang'ombe Unguja.

 Katibu wa CCM Mkoa wa Magharibi Unguja Aziza Mapuri akisoma risala ya Mkoa huo.

 BAADHI ya wageni waalikwa na wajumbe wa Mkutano Mkuu huo.

 Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Magharib  anayemaliza muda wake  Yussuf Mohamed Yussuf  akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi

 MJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi akiwahutubia wana CCM katika Mkutano huo
















Hakuna maoni:

Chapisha Maoni