Jumamosi, 23 Februari 2019

MATUKIO KATIKA PICHA UZINDUZI WA SKULI YA MSINGI YA BOPWE WILAYA YA WETE-23/03/2019.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na wananchi mara baada ya kuzindua Jengo la madarasa ya Shule ya Msingi ya Bopwe huko Wilaya ya Wete Pemba.

KATIBU Mkuu Wizara ya Nchi (OR), Serikali za Mitaa, Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Radhia Haroub Juma akitoa ufafanuzi wa ujenzi wa Jengo hilo la Shule ya Bopwe kupitia mfumo wa Ugatuzi Zanzibar.
WAZIRI wa NChi Ofisi ya Rais, Serikali za Mitaa,Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Mhe.Haji Omar Kheir akizungumza katika hafla hiyo,

VIONGOZI mbali mbali wa Chama Cha Mapinduzi wakiwa katika uzinduzi wa shule ya msingi bopwe.

VIONGOZI wa Meza Kuu wakiimba wimbo wa Sisi sote tumegomboka katika hafla ya uzinduzi wa Shule ya Msingi ya Bopwe Wilaya ya Wete Pemba.

BAADHI ya Mawaziri na Viongozi mbali mbali wa SMZ wakiimba wimbo maalum wa Mashujaa wa SISI SOTE TUMEKOMBOKA.

VIJANA wa Kikundi cha Hamasa wa Wilaya ya Wete wakiimba nyimbo mbali mbali za kuhamasisha katika hafla hiyo.

BAADHI ya Wanafunzi wa Wananchi Wilaya ya Wete wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa Skuli ya Msingi ya Bopwe Pemba.



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni