Jumamosi, 23 Februari 2019

MATUKIO KATIKA PICHA MAJUMUISHO YA ZIARA YA DK.SHEIN WILAYA YA WETE PEMBA-23/02/2019.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Wana CCM pamoja na Viongozi katika Majumuisho ya Wilaya ya Wete Pembe.

NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Abdulla Juma Mabodi akitoa salamu za CCM katika Majumuisho ya ziara ya Rais Dk.Shein katika Wilaya ya Wete Pemba.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Ndugu Haji Omar Kheir akizungumza katika majumuisho hayo.

VIONGOZI na Wanachama wa CCM wakiwa katika majumuisho ya ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein yaliyofanyika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.

MWENYEKITI wa CCM Wilaya ya Wete Pemba ndugu Kombo Hamad Yussuf akimkabidhi zawadi kwa niaba ya Wazee wa Wilaya hiyo Rais wa Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein katika majumuisho ya ziara yake Wilaya ya Wete Pemba.

BAADHI  ya Viongozi  wa CCM wakiwemo Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Makatibu wa Kamati Maalum a NEC Taifa wakiwa katika hafla ya Majumuisho ya ziara ya Rais wa Zanzibar Dk.Shein katika Wilaya ya Wete.

MKUU wa Wilaya ya Wete  Abeid Juma Ali akimkabidhi zawadi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika majumuisho ya ziara ndani ya Wilaya ya Wete Pemba.

MKUU wa Wilaya ya Wete Mhe.Abeid Juma Ali akiwasilisha taarifa ya Wilaya ya Wete mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.

BAADHI ya Wana CCM wakifuatilia kwa makini matukio mbali mbali yanayofanyika katika majumuisho ya Wilaya ya Wete.

KATIBU wa CCM Wilaya ya Wete ndugu Salum Khamis Haji akiwasilisha taarifa ya Chama Cha Mapinduzi katika Wilaya hiyo mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein.

WAZEE wa CCM Pemba wakiwa katika majumuisho hayo ya Wilaya ya Wete.

BAADHI ya Watumishi wa Wilaya ya Wete na wanachama wa CCM wakiwa katika Majumuisho ya ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein huko Wilaya ya Wete Pemba.

PICHA NA KITENGO CHA HABARI NA MAWASILIANO AFISI KUU YA CCM ZANZIBAR.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni