Jumamosi, 23 Februari 2019

DK.SHEIN: AZINDUA JENGO LENYE MADARASA MANNE YA KISASA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA MCHANGA MDOGO WETE PEMBA-23/03/2029.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baaza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizindua Jengo la Madarasa Manne ya Shule ya Sekondari Mchanga Mdgo iliyopo katika Wilaya ya Wete Pemba.

JENGO la Madarasa Manne ya Shule ya Sekondari ya Mchanga mdogo iliyozinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.

NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibr Dk.Abdulla Juma Mabodi pamoja na wananchi na Wana CCM wakicheza Dufu katika hafla wa uzinduzi wa jingo la madarasa manne katika Shule ya Mchanga Mdogo Wilaya ya Wete Pemba.

KATIBU wa Kamati  Maalum ya NEC, Idara ya Itikadi na Uenezi CCM Zanzibar  Bi.Catherine Peter Nao akizungumza na wanafunzi wa shule ys sekondari mchanga mdogo.

KATIBU wa Taalum Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Ndugu Madina Mjaka akitoa taarifa ya kitaalamu katika hafla hiyo.

BAADHI ya Viongozi na makada wa Chama Chama Cha Mapinduzi wakiwa katika hafla hiyO.

VINGOZI na Wananchi wa SMZ wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa shule ya Mchanga Mdogo Wilaya ya Wete.

BAADHI ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mchanga Mdogo wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa Jengo la shule hiyo lete madarasa manane.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni