![]() |
| Wanandugu, Majirani na Marafiki wakiuombea Dua mwili wa Marehemu kabla ya kuelekea Mskitini kwa ajili ya kusaliwa kama ilivyo taratibu ya Dini |
![]() |
| Marafiki Ndugu na Jamaa wakiwa wamembeba mwili wa marehemu kwa ajili ya kupeleka Mskitini kama ilivyo kawaida ya Maiti za kiisilamu hushwaliwa kwanza kabla ya kuzikwa |
![]() |
| Dk. Mabodi, Ndugu na Jamaa wakiitikia dua mara tu baada ya kumaliza kumsalia maiti |
![]() |
| Kama ilivyo kawaida kwa Binaadamu baada ya kufariki hutakiwa kuzikwa sasa hapa Ndugu, Jamaa na Marafiki wakiwa katika harakati za kuzika . |
Tunakuomba Ya Rabi mpe makaazi mema ndugu yetu.





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni