NAIBU
Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Mhe:Dk Abdalla Juma Mabodi, akizungumza na mwalimu
mkuu wa skuli ya Maandalizi Junguni, Nusura Hamad iliyojengwa na Tasaf, wakati
alipokuwa katika ziara yake ya kuangalia utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015/2020
katika miradi ya Tasaf Pemba.
|
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni