Walengwa wa TASAF watakiwa kuanzisha Jumuiya ya pamoja ya
walima mpunga iliwafikie malengo, Kauli hiyo imesemwa na Dk. Mabodi wakati
akifanya Ziara katika Miradi mbali mbali ya TASAF iliyochini ya Serikali ya
Mapinduzi ya Zanzibar.
Ameyasema Leo hii Dk. Mabodi wakati alipotembelea
wakuliwa wa kilimo cha Umwagiliaji maji huko katika Bonde la Cheju na Jendele.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni