Jumatano, 24 Juni 2020

FATMA KOMBO ACHUKUA FOMU YA KUOMBA RIDHAA YA URAIS WA ZANZIBAR.

KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC,Idara ya Oganazesheni Cassian Gallos Nyimbo(kushoto), akimkabidhi fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM, Kada wa Chama Cha Mapinduzi Fatma Kombo Masoud(kulia),hafla iliyofanyika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui.




Hakuna maoni:

Chapisha Maoni