Jumanne, 23 Juni 2020

MOHAMED HIJA AREJESHA FOMU YA KUOMBA URAIS


 KADA wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mohamed Hija amerejesha fomu za kuomba ridhaa ya kugombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM, na kumkabidhi Katibu wa Kamati Maalum ya NEC, Idara ya Organazeni CCM Zanzibar Cassian Gallos Nyimbo.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni