Alhamisi, 18 Juni 2020

BALOZI MOHAMMED HIJA MOHAMMED

Kada mwingine aliyejitokeza majira ya saa saba kuchukua fomu hiyo ni Balozi Mohamed Hija 
Mohamed alisema anaishukuru CCM kwa kutoa nafasi ya kipekee kwa wanachama wake kujitokeza kuchukua fomu na kwamba yeye ni mmoja wao.

Alisema amechomoza kuchukua fomu hiyo na kwamba  amekuja kwa lengo la kuchukua fomu ili aisome na kuelewa kutokana kuwa bado safari ni ndefu.

"Naomba nipeni muda wa kusoma hizi fomu ni rudi nyumbani nizisome alafu tuone hali itakavyokuwa mbele ya safari tutakaa tuzungumze mambo mengi zaidi,"alisema










Hakuna maoni:

Chapisha Maoni