Jumamosi, 20 Juni 2020

JECHA SALIM JECHA

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi visiwani Zanzibar (ZEC), Ndg, Jecha Salim Jecha leo hii Amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi







Hakuna maoni:

Chapisha Maoni