| Naibu Katibu Mkuu wa UWT Zanzibar Tunu Juma Kondo akipewa heshima na kukaribishwa katika Ofisi ya UWT Wilaya ya Dimani. |
| Naibu Katibu Mkuu wa UWT Zanzibar Tunu Juma Kondo akikagua Gwaride la Vijana Maalum wa UVCCM alipowasili katika Ofisi za UWT Kiembesamaki Zanzibar. |
| BAADHI ya wanawake wa UWT Wilaya ya Dimani wakimsikiliza kwa makini mgeni rasmi Naibu Katibu Mkuu wa UWT Zanzibar Tunu Juma Kondo katika mwendelezo wa ziara yake Wilayani humo. |
| VIONGOZI mbali mbali wa UWT Wilaya ya Dimani pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa UWT Zanzibar Tunu Juma Kondo. |
| Naibu Katibu Mkuu wa UWT Zanzibar Tunu Juma Kondo wakicheza wimbo maalum wa wanawake uliopigwa na Kikundi cha Taarab ya 'Wapendanao' kutoka Mkoa wa Magharib Kichama Unguja. |
| MSANII Maarufu wa Wilaya ya Dimani Kombo Vituko akitoa burudani katika hafla hiyo. |
| MWENYEKITI wa UWT Wilaya ya Dimani akifungua Kikao. |
| Naibu Katibu Mkuu wa UWT Zanzibar Tunu Juma Kondo akizungumza na Wanawake wa UWT pamoja na viongozi mbali mbali wa CCM na jumuiya zake. |
| Naibu Katibu Mkuu wa UWT Zanzibar Tunu Juma Kondo akimkabidhi kadi mwanachama mpya aliyejiunga na CCM kutoka Chama cha ADA-TADEA. |
| Naibu Katibu Mkuu wa UWT Zanzibar Tunu Juma Kondo akimkabidhi kadi mwanachama mpya aliyejiunga na CCM kutoka Chama cha ADA-TADEA. |
| Naibu Katibu Mkuu wa UWT Zanzibar Tunu Juma Kondo akimkabidhi kadi mwanachama mpya aliyejiunga na CCM kutoka Chama cha ADA-TADEA. |
| KATIBU wa UWT Mkoa wa Magharib Zuwena akiwatambulisha viongozi mbali mbali katika hafla hiyo. |
| KATIBU wa CCM Jimbo la Fuoni Salama Rajab Msinga akitoa maoni yake juu ya uimarishaji wa Jumuiya na Chama Cha Mapinduzi kuelekea mwaka 2020. |
| KATIBU wa UWT Jimbo la Mwanakwerekwe Rehema Kondo Kombo akizungumza katika hafla hiyo. |
| MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Amina Khamis Omar 'Mama Afika' akizungumza katika hafla hiyo. |
| MWAKILISHI wa CCM Jimbo la Chukwani akizungumza katika hafla. |
| MWENYEKITI wa CCM Wilaya ya Dimani Hussein Ali Mjema akitoa salamu za Chama Cha Mapinduzi katika hafla hiyo. |
| Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Magharibi, Zainab Ali Maulid akizungumza katika hafla hiyo. |
| Naibu Katibu Mkuu wa UWT Zanzibar Tunu Juma Kondo akikabidhiwa zawadi mbali mbali na wanawake wa UWT Wilaya ya Dimani Unguja. |
| BAADHI ya Wajumbe wa Kamati tekelezaji ya UWT Wilaya ya Dimani wakiwa katika hafla hiyo. |
| MAAFISA wa UWT Ofisi Kuu ya Zanzibar wakiwa katika hafla hiyo. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni