Jumamosi, 22 Desemba 2018

MATUKIO KATIKA PICHA MAPOKEZI YA NAIBU KATIBU MKUU WA UVCCM Z'BAR NDG.MUSSA HAJI MUSSA YALIYOFANYIKA GYMKHANA.

 NAIBU Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Ndugu Mussa Haji Mussa akiwahutubia Vijana wa UVCCM katika hafla ya Mapokezi yake iliyofanyika leo katika Viwanja vya Gymkana unguja.

 VIONGOZI mbali mbali wa UVCCM wakiwa katika hafla ya mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu wa Vijana Mussa Haji Mussa.

 
VIONGOZI mbali mbali wa UVCCM wakiwa katika hafla ya mapokezi ya Naibu Katibu Mkuu wa Vijana Mussa Haji Mussa.


 NAIBU Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Ndugu Mussa Haji Mussa akishuka Boti Bandarini Malindi  mara baada ya kuwasili nchini.


 NAIBU Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Ndugu Mussa Haji Mussa akisalimiana na Afisa mwandamizi wa UVCCM Afisi Kuu Zanzibar Ndugu Iddi mara baada ya kuwasili nchini.

 NAIBU Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Ndugu Mussa Haji Mussa akiwa na viongozi mbali mbali wa UVCCM mara baada ya kuwasili nchini.
 NAIBU Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Ndugu Mussa Haji Mussa akibadilishana mawazo na uzoefu na mmoja wa viongozi.
 NAIBU Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Ndugu Mussa Haji Mussa akizungumza na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Mjini Ndugu Kamaria Suleiman Nassor.


 NAIBU Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Ndugu Mussa Haji Mussa akipewa zawadi.

NAIBU Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Ndugu Mussa Haji Mussa akivishwa mashada ya maua ikiwa ni ishara ya mapokezi. 

 NAIBU Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Ndugu Mussa Haji Mussa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wandamizi wa UVCCM Zanzibar.

Akisalimiana na Mama yake Mzazi mara baada ya kuwasili nchini.

 NAIBU Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Ndugu Mussa Haji Mussa akiwa katika Picha ya Pamoja na Familia yake.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni