Jumanne, 29 Mei 2018

MWENYEKITI WA CCM RAIS DK. MAGUFULI AONGONZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA TAIFA (NEC) YA CCM JIJINI DAR ES SALAAM


 Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. John Magufuli  akiwa meza kuu katika Ukumbi wa mikutano wa Kikwete kwa ajili ya kuongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Chama cha Mapinduzi (CCM) leo Jumatatu Mei 28, 2018. Kushoto ni Makamu Mwenyeti wa CCM Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein na kulia ni Mamaku Mwenyekiti wa CCM Bara Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana.

 Wajumbe wakiwa kwenye kikao hicho.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni