Jumamosi, 5 Mei 2018

MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA DK.SHEIN YA KUZUNGUMZA NA MABALOZI WILAYA YA KUSINI UNGUJA


 MAKAMO Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na mabalozi na viongozi mbali mbali wa CCM ngazi za mashina katika Wilaya ya Kusini Unguja.
 MAKAMO Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika mawendelezo wa ziara zake za kuzungumza na mabalozi katika Wilaya ya Kusini Unguja.



 BAADHI ya mabalozi na viongozi mbali mbali wa Chama na Serikali walioshiriki katika ziara ya kuimarisha Chama Cha Mapinduzi ya Dk. Shein kuzungumza na viongozi hao wa ngazi za mashina.
MSOMA risala ya mabalozi Bi. Mwajuma Ramadhani Abdalla(kulia) akimkabidhi  risala hiyo Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein (kushoto), mara baada ya kusomwa katika mwendelezo wa ziara hiyo Wilaya ya Kusini Unguja.
 NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk. Abdulla Juma Mabodi akisoma Ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015/2020 kwa mabalozi na viongozi wa ngazi za mashina Wilaya ya kusini Unguja.


 MWENYEKITI wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja, Ndugu Ramadhani Abdallah Ali akizungumza na mabalozi hao kabla ya kumkaribisha Naibu Katibu Mkuu Dk. Mabodi ili amkaribishe mgeni rasmi.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni