Jumatatu, 10 Septemba 2018

MATUKIO KATIKA PICHA MAKAMU MWENYEKITI WA UWT TAIFA BI.THUWAYBA AKIWA KTK KAMPENI ZA KUMNADI MGOMBEA UDIWANI WA CCM MONDULI MJINI


 MAKAMU Mwenyekiti wa UWT Taifa Bi.Thuwayba Kisasi akizungumza katika Mkutano wa hadhara wa kumnadi mgombea udiwani wa CCM Ndugu Julias Kalanga Kata ya Monduli Mjini.

BAADHI ya wananchi wakiwa katika Mkutano wa hadhara wa kumnadi mgombea udiwani wa CCM Julias Kalanga Kata ya Monduli Mjini.


MAKAMU Mwenyekiti wa UWT Taifa Bi.Thuwayba Kisasi akiwa sokoni kwa lengo la kumuombea kura Mgombea udiwani wa CCM Ndugu Julias Kalanga.

  

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni