Alhamisi, 9 Mei 2019

MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA MLEZI WA CCM RUVUMA MKOA WA RUVUMA DK.ABDULLA JUMA MABODI. 06/05/2019.


 MLEZI wa CCM Mkoa wa Ruvuma Dk.Abdulla Juma Mabodi Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Ruvuma kwa ajili ya ziara yake ya kuimarisha Chama katika Wilaya za CCM Mkoani humo.

 MLEZI wa CCM Mkoa wa Ruvuma Dk.Abdulla Juma Mabodi akivishwa Sikafu na Kijana wa UVCCM mara baada ya kuwasili katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi Ruvuma. 

  MLEZI wa CCM Mkoa wa Ruvuma Dk.Abdulla Juma Mabodi akisalimiana na Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Ruvuma Kuruthum Mhagama mara baada ya kuwasili katika Ofisi za CCM Mkoa wa Ruvuma.

  MLEZI wa CCM Mkoa wa Ruvuma Dk.Abdulla Juma Mabodi akiangalia Kikundi cha Sanaa cha Jakaya Kata ya Lizaboni Wilaya ya Songea Mjini.

  MLEZI wa CCM Mkoa wa Ruvuma Dk.Abdulla Juma Mabodi akizungumza na Wajumbe wa Kamati ya Mkoa na Wilaya ya Songea Mjini na Songea Vijijini baada ya kuwasili katika Ofisi za CCM Mkoa wa Ruvuma.
 MWENYEKITI wa Shina no.17 Tawi la CCM Namtumbo  'A' Wilaya ya Namtumbo mbele akifungua Kikao Cha Mkutano wa ndani mbele ya Mgeni rasmi  Mlezi wa CCM Mkoa wa Ruvuma Dk.Abdulla Juma Mabodi alipowasili katika eneo hilo.


 MWENYEKITI wa CCM Mkoa wa Ruvuma Oddo Killian Mwisho akizungumza na Wana CCM wa Shina no.17 katika ziara ya Mlezi wa CCM wa Mkoa huo.

  MLEZI wa CCM Mkoa wa Ruvuma Dk.Abdulla Juma Mabodi akizungumza na Wana CCM wa Tawi hilo la Namtumbo 'A' katika Ziara yake ya kikazi ya  kuimarisha Chama Cha Mapinduzi Wilayani Namtumbo.

 MZEE wa CCM katika Shina hilo namba 17  Mzee Awabu Kilambo,akitoa Shukrani kwa Mgeni rasmi na kuahidi kuwa Wananchi wa Eneo hilo Wataendelea kuamini na kuunga mkono Chama Cha Mapinduzi.

  MLEZI wa CCM Mkoa wa Ruvuma Dk.Abdulla Juma Mabodi ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Dk.Abdulla Juma Saadalla Mabodi akiwa na Wana CCM wa Shina no.17 katika ziara yake Wilayani Namtumbo.

   MLEZI wa CCM Mkoa wa Ruvuma Dk.Abdulla Juma Mabodi ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Dk.Abdulla Juma Saadalla Mabodi .

   MLEZI wa CCM Mkoa wa Ruvuma Dk.Abdulla Juma Mabodi ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Dk.Abdulla Juma Saadalla Mabodi akiwa na Wajumbe mbali mbali wa CCM wakikagua Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Namtumbo.

   MLEZI wa CCM Mkoa wa Ruvuma Dk.Abdulla Juma Mabodi ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Dk.Abdulla Juma Saadalla Mabodi akiwa na Wajumbe mbali mbali wa CCM wakikagua Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Namtumbo.

   MLEZI wa CCM Mkoa wa Ruvuma Dk.Abdulla Juma Mabodi ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Dk.Abdulla Juma Saadalla Mabodi akiwa na Wajumbe mbali mbali wa CCM akisikiliza Taarifa ya Mradi wa Maji Safi na Salama katika Mradi wa Maji  Mto Rwinga.
   MLEZI wa CCM Mkoa wa Ruvuma Dk.Abdulla Juma Mabodi ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Dk.Abdulla Juma Saadalla Mabodi akisikiliza Taarifa ya Mradi wa Ujeni wa Soko la Wilaya ya Namtumbo.

 WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Namtumbo, Watendaji wa Halmashauri ya Wilaya Namtumbo na  Wazee wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Namtumbo wakisikiliza nasaha za   Mlezi wa CCM Mkoa wa Ruvuma Dk.Abdulla Juma Mabodi ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa  (hayupo pichani) katika ziara yake Wilayani humo.

   MLEZI wa CCM Mkoa wa Ruvuma Dk.Abdulla Juma Mabodi ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Dk.Abdulla Juma Saadalla Mabodi  akizungumza na  Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Namtumbo, Watendaji wa Halmashauri ya Wilaya Namtumbo na  Wazee wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Namtumbo

 BAADHI ya Wazee wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Namtumbo wakisikiliza nasaha za Mgeni rasmi  Mlezi  wa CCM Mkoa wa Ruvuma Dk.Abdulla Juma Mabodi ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Dk.Abdulla Juma Saadalla Mabodi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni