Jumamosi, 4 Mei 2019

MATUKIO KATIKA HAFLA YA KARAMU YA TAWI LA CCM FUONI MICHENZANI.

NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Abdulla Juma Mabodi akikaribishwa  na  Vijana wa Chipukizi Tawi la CCM Fuoni Michenzani,mara baada ya kuwasili katika Tawi hilo kwa ajili ya hafla ya Karamu. 

 NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Abdulla Juma Mabodi akivishwa sikafu na Vijana wa Chipukizi Tawi la CCM Fuoni Michenzani. 

 NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Abdulla Juma Mabodi akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Magharibi Mohamed Rajab Soud.

 VIONGOZI na Wanachama wa CCM walioudhuria katika hafla hiyo ya Karamu ya Wana CCM wa Tawi la CCM Fuoni Michenzani.

Wanachama wa CCM walioudhuria katika hafla hiyo ya Karamu ya Wana CCM wa Tawi la CCM Fuoni Michenzani.

 MWENYEKITI wa CCM Mkoa wa Magharib Mohamed Rajab akizungumza katika hafla hiyo.

 MWENYEKITI wa CCM Wilaya ya Dimani Hussein Ali Mjema akizungumza katika hafla hiyo.

MWENYEKITI wa Tawi la CCM Fuoni Michenzani akizungumza na kufungua Mkutano huo wa ndani ulioambatana na hafla ya Karamu.

 NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Abdulla Juma Mabodi akizunfumza katika hafla hiyo


 NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk.Abdulla Juma Mabodi akisalimiana na Wanachama.




MSHAURI wa Rais wa Zanzibar  wa masuala ya Utamaduni na Utalii Mhe.Chimbeni Kheri Chimbeni. akitoa shukrani.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni