Jumapili, 15 Oktoba 2017

Picha Mbali mbali za Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar akizindua kilimo cha Mpunga katika Jimbo la Bububu, Zanzibar

 


 Mhe. Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Dkt. Mabodi akisalimia na wananchi wa Jimbo la Bububu mara tu baada ya kuwasili katik bonde hilo la mpunga kwa lengo la kufanya uzinduzi wa kilimo cha mpunga 

Mhe. Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Dkt. Mabodi akisalimia na Mwakilishi wa Jimbo la Bububu mara tu baada ya kuwasili katik bonde hilo la mpunga kwa lengo la kufanya uzinduzi wa kilimo cha mpunga

Mhe. Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Dkt. Mabodi akijaribu Matreka ambayo yanyatarajiwa kufanyia kazi katika kilimo cha mpunga




















Hakuna maoni:

Chapisha Maoni