Jumamosi, 21 Desemba 2019

MATUKIO KATIKA PICHA KONGAMANO LA WIKI YA KACHORORA Z'BAR.


 NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Zanzibar Dk.Abdulla Juma Mabodi, akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa kongamano la wiki ya Kachorora huko ukumbi wa Kituo cha kulelea Wazee Sebleni Zanzibar.

 BAADHI ya Wajumbe wa Maskani ya Kachorora pamoja na Maskani jirani za CCM walioudhuria katika hafla ya Wiki ya Kachorora,wakisikiliza mada mbali mbali zinazotolewa katika kongamano hilo zikiwemo mada za udhalilishaji wa kijinsia,Dhana ya kuanzishwa Maskani za CCM na Mafanikio ya Serikali ya awamu ya Saba.


 Ndugu Said Shaaban akiwasilisha mada ya Dhana ya kuanzishwa kwa maskani za CCM , kwa Wana Maskani hao.

 Ndugu Khamis Rashid Mbarouk akiwasilisha mada ya Unyanyasaji wa Kijinsia, katika kongamano hilo la wiki ya Kachorora.


 Naibu Katibu Mkuu wa UWT Zanzibar Ndugu Tunu Juma Kondo, akifunga kongamano hilo la wiki ya kachorora.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni