Jumanne, 27 Novemba 2018

MATUKIO KATIKA PICHA ZIARA YA NAIBU KATIBU MKUU CCM Z'BAR DK.MABODI HALMASHAURI YA WILAYA YA KATI UNGUJA

NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk. Abdulla Juma Saadalla 'Mabodi' (kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Wilaya Kati Unguja ndugu Hassan Mrisho Vuai (kulia) mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kati Unguja kwa ajili ya ziara.

 NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk. Abdulla Juma Saadalla 'Mabodi' (kushoto) akisalimiana na MNEC Amini Salmin Amour   mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Kati Unguja kwa ajili ya ziara.

 NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk. Abdulla Juma Saadalla 'Mabodi' (kushoto) akisalimiana na MNEC Ramadhan Abdalla Shaaban.
 NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk. Abdulla Juma Saadalla 'Mabodi' (kushoto) akisalimiana na  Mkurugenzi 





























Hakuna maoni:

Chapisha Maoni