Jumatatu, 27 Machi 2017

HONGERA DK. SHEIN KWA KUTIMIZA MWAKA MMOJA

Mamia ya wananchi wa Zanzibar jana usiku walihudhuria katika Taarab Rasmi iliyoandaliwa na Chama Cha Mapinduzi kwa ajili ya kusherehekea mwaka mmoja tangu kuingia madarakani huko katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuini Mjini Zanzibar.

Taarab hiyo iliyopigwa na Vikundi vya Culture, Big Star na Zanzibar One iliwafurahisha na wananchi wengi wakiwamo wanaCCM. Pamoja na Mgeni Rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM - Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein

Mbali na Kiogozi huyo pia walikuwepo Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, wajumbe wa Halimashauri kuu CCM pamoja na Viongozi mbali vyama vya siasa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar















































Hakuna maoni:

Chapisha Maoni