Alhamisi, 18 Juni 2015

MBIO ZA URAIS CCM

 

Wanafunzi wa Madrasat Swifat Nabawiyyal Karima {Msolopa} wakitumbuiza katika sherehe ya uchukuaji fomu
Add caption



Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein, akiongozana  na Mkewe Mwanamwema Shein akiwapungia mkono wana CCM waliofurika Viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Zanzibar tayari kwa kuchukua Fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama chake kugombea Kiti cha Rais wa Zanzibar. Kulia - Naibu Katibu Mkuu wa CCM - Zanzibar Ndugu Vuai Ali Vuai.


Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi.

Makamu  Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe. Dkt. Ali MOhamed Shein akikaribishwa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndugu. Vuai Ali Vuai kabla tayuari kwa kuchukua Fomu - Afisi Kuu ya CCM - Zanzibar.

Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar akimkabidhi Fomu Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein.





Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe. Dkt. Ali MOhamed Shein akiwa ndani ya ukumbi wa mkutano tayari kwa kuzungumza na Viongozi wa Ngazi mbali mbali  za CCM Zanzibar.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni