Ijumaa, 3 Februari 2017

CCM YAIBUKA KIDEDEA DHIDI YA WASANII

CCM yaibuka na Ushindi wa kishindo katika pambano lilichezwa leo hii katika Uwamja wa Amani.

Mpaka dakika 90 mpira ulikuwa Tawi la CCM Afisi Kuu 2-2 Wasani wa Kizazi kipya Zanzibar.

Baada ya hapo yapigwa matuta (penalti) na hatimae Tawi la CCM Afisi Kuu wakaipbuka kidedea kwa penalti 4-2 dhidi ya Wasani

UMOJA NI USHINDI















































Hakuna maoni:

Chapisha Maoni