CCM yaibuka na Ushindi wa kishindo katika pambano lilichezwa leo hii katika Uwamja wa Amani.
Mpaka dakika 90 mpira ulikuwa Tawi la CCM Afisi Kuu 2-2 Wasani wa Kizazi kipya Zanzibar.
Baada ya hapo yapigwa matuta (penalti) na hatimae Tawi la CCM Afisi Kuu wakaipbuka kidedea kwa penalti 4-2 dhidi ya Wasani
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni