Jumatatu, 17 Julai 2017

Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Abdulla Juma Saadalla leo ameshiriki mazishi ya watoto nne waliofariki jana baada ya kuingia ktk gari iliyokuwa imeegeshwa mtaani kwao na ikajifunga hali iliyosababisha vifo vyao huko Kidongo chekundu Unguja.





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni