Ijumaa, 17 Julai 2015

MAGUFULI APOKELERWA KWA SHANGWE ZANZIBAR


Mgombe wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli apokelewa na maelfu ya wanachama,wapendana amani, wakereketwa hapa kisiwani Unguja.

Mnamo tarehe 16/07/2015. Mgombe wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli kupitia tiketi ya Chama Cha Mpainduzi {CCM} alipokelewa kwa shangwe kubwa na wanachama wa CCM.

Akiwasili kisiwani Zanzibar alifuatana na Mgombea mwenza wa CCM Mhe. Samia SuluhU Hassan walifikia Afisi Kuu CCM Zanzibar.


Add caption


Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein akimsalimia kwa bashasha mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, mgombea huyo alipowasili leo mjini Zanzibar kwa ajili ya utambulisho kwa wana CCM.




Hakuna maoni:

Chapisha Maoni