Jumatatu, 22 Februari 2016

DR SHENI ASEMA MUUNGANO NA MAPINDUZI KWANZA MENGINE YATASUBIRI.

Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Jumuiya ya Umoja wa Vijana UVCCM Mkoa wa Mjini kichama leo katika ukumbi wa CCM Amani Mjini Unguja na kuwataka Vijana kulinda Muungano na Mapinduzi ya Zanzibar,ikiwa ni katika hatua za uimarishaji wa Chama cha Mapinduzi kuelekea uchaguzi wa marudio wa Machi 20, 2016.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni